NYUMBA INAUZWA IRINGA

Nyumba  hii   ipo katika hali nzuri  na  kuna  wapangaji wanaishi ipo Mkimbizi kata ya Mtwivila mjini  Iringa umbali wa Km 4 kutoka barabara kuu ya Iringa-Dodoma 
Sifa  zake> Ina vyumba  vitatu  vya kulala, choo cha  ndani, stoo,jiko na Sebule kubwa>Hati  ipo nyumba   ipo na  vielelezo vyote nyeti vipo>Eneo ambalo  limejengwa ni alisimia 30  ya  uwanja > uwanja una  ukubwa wa Skwea mita 525 >Maji na umeme  upo> Barabara inafika hapa nyumbani Nyumba  hii  ilikukuwa ikiuzwa  Tsh milioni 60 sasa ni TSh 35  maelewano  yapo> Nyumba  ipo  eneo la Mkimbizi Bima  katika Manispaa ya  Iringa jirani na kituo cha  Yatima  cha  Deily Bread Kwa mawasiliano piga simu namba  0754 026 299/0789281030/0712750 199




Hakuna maoni

Picha za mandhari zimetolewa na jangeltun. Inaendeshwa na Blogger.